sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » BABU SEYA, PAPII WATINGA IKULU

Rais John  Magufuli (katikati) akiwa ameshikana mikono akiomba dua na mwanamuziki Nguza Vicking “Babu Seya”  (wa pili kushoto) na wanaye Johnson Nguza “Papii Kocha” (wa pili kulia), Francis Nguza (wa kwanza kulia) na Michael Nguza (kushoto) walipofika Ikulu Dar leo, Januari 2, kumshukuru kwa msamaha  aliotoa kwao dhidi ya kifungo cha maisha walichokuwa wakitumikia

“Babu Seya” na wanaye Johnson Nguza “Papii Kocha”, Francis Nguza na Michael Nguza walipofika Ikulu leo.
Familia ya mwanamuziki Nguza Vicking “Babu Seya”  na wanaye Johnson Nguza “Papii Kocha”Francis Nguza na Michael Nguza  leo walikwenda Ikulu, Dar, kumshukuru Rais Magufuli kwa msamaha wake aliotoa kwao dhidi ya kifungo cha maisha walichokuwa wakitumikia.
Rais Magufuli alitoa msamaha kwa wanamuziki hao, miongoni mwa watu zaidi ya 8,000 aliowasamahe siku ya uhuru wa Tanzania Bara, Desemba 9 mwaka jana, wakati akilihutubia taifa huko Dodoma.

jiunge na group la whatsapp  kupata habari haraka bofya hapa

https://chat.whatsapp.com/4kY5fx3UtyA3xYw5uk3NvF

KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply