sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » FIFA YAIPA SHAVU TANZANIA

Tanzania imeteuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kufanyia mkutano wake mkuu wa kila mwaka ambao utashirikisha Mataifa 19 wanachama wa shirikisho hilo utakaofanyika feb. 22, 2018 katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.


Rais wa FIFA Gianni Infantino ndiye ataongoza mkutano huo huku Katibu Mkuu wa FIFA, Fatma Samba Diouf Samoura na Sekretarieti ya FIFA pamoja na rais wa CAF, Ahmad Ahmad na Sekreterieti yake, ni miongoni mwa wageni wa ngazi ya juu watakaohudhuria.
Agenda kadhaa zitakazojadiliwa ni pamoja na utoaji wa Fedha za FIFA kwaajili ya maendeleo ya mchezo wa soka, changamoto za usajili wa wachezaji kwa kutumia mtandao yaani TRANSFER MATCHING SYSTEM na kalenda ya kimataifa ya FIFA.
Baadhi ya nchi zitakazoshiriki katika mkutano huo ni Bahran, Saudi Arabia, Palestina, Algeria, , Ivory Coast, Tunisia, Mali na Niger.

jiunge na group la whatsapp  kupata habari haraka bofya hapa

https://chat.whatsapp.com/4kY5fx3UtyA3xYw5uk3NvF

KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply