headlines

    11

sponsor

Slider

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  4. 4

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » WAASI 6 WA MAI - MAI WAUWAWA DRC
LINK CLASSIC

Askari mmoja na waasi wa Mai-Mai sita wameuwawa katika mapambano Alhamisi upande wa mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) karibu na mpaka wa Uganda, jeshi la Congo limesema.
Kuanzia mwanzo wa mwaka 2017, wapiganaji wa Mai-Mai mara nyingi wamekuwa wakishambulia maeneo mbalimbali ya jeshi la Congo katika eneo.
Shirika la habari la AFP limeripoti kuwa mapambano ya hivi karibuni kati ya majeshi ya serikali na waasi yalianza katika majira ya saa mbili asubuhi, wakazi wa eneo la Kasindi, katika jimbo la Kivu Kaskazini, wamesema.
Kasindi ni sehemu ambapo kipo kituo kikuu cha forodha upande wa mashariki wa DRC na ambapo bidhaa nyingi zinazoingia nchini kutoka Uganda hupewa kibali.
“Tunasikitika kwa kifo cha askari, na wengine watatu waliojeruhiwa, na waasi sita wameuawa na wengine watatu wamekamatwa,” alisema msemaji wa jeshi katika eneo hilo ameeleza, Luteni Jules Tshikudi.
“Utulivu umerejea hivi sasa baada ya masaa kadhaa ya mapambano ambapo silaha nzito na nyepesi zilitumika, na Jeshi limeweza kulidhibiti eneo hilo,” aliongeza.

jiunge na group la whatsapp  kupata habari haraka bofya hapa
KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Pages 17123456 »

No comments:

Leave a Reply