sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » KESI YA DR TENGA YAENDELEA TENA LEO KISUTU.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka kuhakikisha unakamilisha upelelezi wa kesi inayowakabili vigogo wa kampuni ya mawasiliano ya Six Telecoms, akiwemo Wakili maarufu Dk.Ringo Tenga.
Mbali na Dk. Tenga, washtakiwa wengine ni mfanyabiashara Peter Noni, Mhandisi na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo, Hafidhi Shamte, Mkuu wa fedha wa kampuni hiyo, Noel Odeny Chacha
Hakimu Mkazi Mkuu, Victoria Nongwa ameueleza upande wa mashtaka kukamilisha upelelezi baada ya wakili wa serikali, Mutalemwa Kishenyi kudai upelelezi wa kesi haujakamilika.
Kishenyi aliiomba mahakama iahirishe kesi hiyo hadi tarehe nyingine kwa sababu ya upelelezi kutokamilika.
Baada ya kueleza hayo, Hakimu Nongwa ameutaka upande wa mashtaka ujitahidi kukamilisha upelelezi ambapo ameahirisha kesi hiyo hadi January 9, 2018.
jiunge na group la whatsapp  kupata habari haraka bofya hapa
KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply