sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » BASHE ASEMA TAASISI ZA DINI ZINAHAKI YA KUTOA MAONI YAO JUU YA SIASA

Wakati Jeshi la Polisi Tanzania kupitia kanda maalum ya Dar es salaam likitangaza kuwa lazima litamhoji Askofu na kiongozi wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Zachary Kakobe kwa madai ya kutoa maneno ya kashfa kwenye mahubiri yake, wapo Wanasiasa walioguswa na taarifa hii na mmoja wapo ni Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe.

Kupitia akaunti ya twitter Mbunge Hussein Bashe ameandika ;"Kesho tutazitaka Taasisi za Dini zihamasishe amani,Maendeleo, zipongeze ni muhimu kukubali kukosolewa, Serikali haitakiwi kufanya hivi kama hazivunji sheria.

"Taasisi za Dini zina haki ya kutoa maoni yao juu ya siasa,Uchumi na maswala yote ya kijamii, viongozi wa Dini wana nafasi yao"
jiunge na group la whatsapp  kupata habari haraka bofya hapa
KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply