sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » NJIA RAHISI YA KUKUEPUSHA NA HANGOVER BAADA YA KUNYWA POMBE.

UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA


Moja kati ya vinywaji ambavyo watu wengi hupenda kuvitumia ama kwa hakika bia nayo Imoooo au siyo, sasa Watu wengi wamekuwa wakinywa Pombe huamka wakiwa na Hangover (Mning'inio wa ziada) Ile hali ya Kuumwa kichwa na Uchovu na vitu vya aina hiyo.


Umewahi kujiuliza dawa ya kuondoa mning'inio huu wa ziada ? Basi tupo kwa ajili ya kukupa hili, ni kwamba ili uondoe hali hii inakubidi Kila unapomaliza chupa moja ya Bia unakunywa na Glasi moja ya maji ya Kunywa.

Ukifanya Hivi kulingana na Tafiti za kitaalamu huwezi kuamka umechoka wala kuumwa kichwa wala kujisikia vibaya hali ambayo hutokana na bia au Pombe.


Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana


Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply