sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » SASA KENYA KUWAONDOA WAKIMBIZI

KAMBI YA WAKIMBIZI KENYA

UNGANA NA 
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA
Serikali ya Kenya imepanga kufunga kambi zote za wakimbizi mwishoni mwa mwaka huu.
Waziri wa maswala ya usalama wa taifa bwa Joseph Nkaisserry amesema zaidi ya watu laki sita ambao kwa sasa wanaishi katika makambi tofauti,watarejeshwa makwao.
Miongoni mwao wameishi katika kambi hizo kwa zaidi ya miaka 25.
Serikali ya Kenya inasema wakimbizi wanasababisha mzigo wa kiuchumi huku wakihatarisha usalama.
Watetezi wa waki za binaadamu wamekosoa wazo hilo na kusema Kenya watatengeneza mazingira magumu.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki, bila kusahau kuwashirikisha rafiki zako kutembelea website hii. 

+255 (0) 652989873 whatsapp


Karibu sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 


"FOR MORE INFO PLEASE"

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply