KAMBI YA WAKIMBIZI KENYA
UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA
Serikali ya Kenya imepanga kufunga kambi zote za wakimbizi mwishoni mwa mwaka huu.
Waziri wa maswala ya usalama wa taifa bwa Joseph Nkaisserry amesema zaidi ya watu laki sita ambao kwa sasa wanaishi katika makambi tofauti,watarejeshwa makwao.
Miongoni mwao wameishi katika kambi hizo kwa zaidi ya miaka 25.
Serikali ya Kenya inasema wakimbizi wanasababisha mzigo wa kiuchumi huku wakihatarisha usalama.
Watetezi wa waki za binaadamu wamekosoa wazo hilo na kusema Kenya watatengeneza mazingira magumu.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii
Mungu akubariki, bila kusahau kuwashirikisha rafiki zako kutembelea website
hii.
+255 (0) 652989873 whatsapp
Karibu sana
LINK
CLASSIC
LIKE PAGE ZETU
"FOR
MORE INFO PLEASE"
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: