UNGANA NA
LINK CLASSIC
KATIKA KIPENGELE CHA
HOT NEWZ
Ushindani kwenye vituo vya redio nchini umefika katika ubora wake.
Gerald Hando, Adella Tillya na Paul James wakiwa nje ya jengo la K-Net wakiendesha kipindi chao live
Kwa siku nyingi wapenzi wa redio walikuwa wakiwasubiri kwa hamu Gerald Hando na Paul James waliohamia EFM kuona wana kipya gani.
Leo, May 2, wawili hao wameanza kwenda hewani kupitia kipindi cha Joto la Asubuhi. Aliyekuwa mtayarishaji wa kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM walikokuwa wawili hao, Abel Onesmo naye ameungana nao.
Hata hivyo wawili hao wameanza kazi kwa mtindo wa aina yake. Kipindi cha Joto la Asubuhi kimezinduliwa upya kwa matangazo kurushwa live nje ya jengo la K-Net zilipo studio zake maeneo ya Maringo – Kona ya Kawe.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz
ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua
LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau
kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
Whatsapp
+255 652 989 873
Karibu
sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: