
UNGANA NA
LINK CLASSIC
KATIKA KIPENGELE CHA
HOT NEWZ
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetolea ufafanuzi wa sukari tani 6757 mali ya Kampuni ya El-Naeem Enterprises iliyokamatwa hivi karibuni katika Bohari ya Forodha ambapo imesema ilikuwa chini ya uangalizi ikisubiri vibali husika ili iweze kuruhusiwa kusambazwa nchini.
Akizungumza na Waandishi wa Habari Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania, Richard Kayombo, amesema sukari hiyo ilikuwa katika Bohari ya Forodha ya uangalizi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania ikiwa imehifadhiwa kusubiri kukamilishwa kwa utaratibu wa kodi, vibali vya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) na vibali vya Bodi ya Sukari na hatimaye kuweza kuruhusiwa kutoka.
Sukari hiyo kwa sasa imeruhusiwa kutolewa ambapo mtembezi.com imefika katika bohari hiyo na kushuhudia ikipakuliwa tayari kusambazwa nchini.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
+255
(0) 652989873 whatsapp
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA


No comments: