sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » TRA YAFAFANUA JUU YA SAKATA LA UGAWAJI SUKARI

UNGANA NA
LINK CLASSIC
KATIKA KIPENGELE CHA
HOT NEWZ

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetolea ufafanuzi wa sukari tani 6757 mali ya Kampuni ya El-Naeem Enterprises iliyokamatwa hivi karibuni  katika Bohari ya Forodha ambapo imesema  ilikuwa chini ya uangalizi ikisubiri vibali husika ili iweze kuruhusiwa kusambazwa nchini.

Akizungumza na Waandishi wa Habari Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania, Richard Kayombo, amesema sukari hiyo ilikuwa katika Bohari ya Forodha ya uangalizi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania ikiwa imehifadhiwa kusubiri kukamilishwa kwa utaratibu wa kodi, vibali vya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) na vibali vya Bodi ya Sukari na hatimaye kuweza kuruhusiwa kutoka.

Sukari hiyo kwa sasa imeruhusiwa kutolewa ambapo mtembezi.com imefika katika bohari hiyo  na kushuhudia ikipakuliwa tayari kusambazwa nchini.

LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

+255 (0) 652989873 whatsapp

TWITTER    
LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana
LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply