sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » NDUGAI – KUNA BAADHI YA MAMBO UKIYASIKIA NI KAMA NDOTO TU

UNGANA NA 
LINK CLASSIC
KATIKA KIPENGELE CHA
HOT NEWZ

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema kuna mambo mengine ukiyasikia ni kama ndoto vile, kauli aliyoitoa baada ya kusikia kuwa Jimbo la Segerea Jijini Dar es Salaam halina Zahanati.

Akizungumza Bungeni Mjini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu Ndugai amesema mambo mengine ukisikia ni kama ndoto au hadithi za kufikirika, baada ya kusikia Kata ya Vingunguti na Kipawa Jijini Dar es Salaam hazina Zahanati.

Hayo yamebainishwa na Wabunge wa Jimbo la Segerea, Bona Kalua pamoja na Mbunge wa Viti Maalumu kupitia (Chadema), Anatropia Theonest katika maswali yao kwa Wizara ya TAMISEMI, ya kutaka kujua kwanini maeneo hayo yenye mkusanyiko wa watu hayana Zahanati.

Bona Kalua alizitaja Kata ambazo hazina Zahanati katika jimbo lake ni pamoja na Kata ya Vingunguti ambayo ina wakazi wengi na haina zahanati lakini pia Kata ya Kipawa, Minazi Mirefu, Kiwalani, Kisukulu na Kimanga  hazina Zahanati wala Vituo vya Afya.

Katika majibu yake Naibu Waziri wa TAMISEMI Suleiman Jaffo, alikiri kuwepo changamoto hiyo katika jimbo hilo na kusema kuwa serikali inalifanyika kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta eneo kubwa ambalo litafaa kwa ajili ya ujenzi wa Zahanati pamoja na Vituo vya afya ili kuondoa tatizo hilo.

LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

+255 (0) 652989873 whatsapp

TWITTER    
LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana
LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply