sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » SABA WAPATWA NA HATIA MASHAMBULIO YA KAMPALA

Kifo
UNGANA NA 
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA
Watu saba kati ya 13 waliokuwa wameshtakiwa kuhusiana na mashambulio ya mabomu ya mwaka 2010 mjini Kampala wamepatikana na hatia.
Mashambulio hayo, yaliyotekelezwa katika maeneo mawili watu walipokuwa wakitazama fainali ya Kombe la Dunia, yalisababisha vifo vya watu 74.
Jaji Alfonse Owiny-Dollo ameamua watu sita kati ya walioshtakiwa hawakuwa na hatia.
Jaji, akitegemea sana ushahidi wa watu wawili waliokiri kuhusika na kuhukumiwa, alisema Isa Ahmed Luyima ndiye aliyehusika sana katika mashambulio hayo.
Kundi la al-Shabab kutoka Somalia lilidai kuhusika.
Jaji awali aliwaondolewa mashtaka ya kuwa wanachama wa kundi la kigaidi akisema kundi la al-Shabab wakati huo halikuwa limeorodheshwa kuwa kundi la kigaidi nchini Uganda.
Luyima
Waliopatikana na hatia ni: Isa Ahmed Luyima, Hassan Haruna Luyim, Habib Suleiman Njoroge, Suleiman Hajjir Nyamandondo, Idris Magondu, Hassan Hussein Agade na Muhammed Ali Muhammed.
Walioondolewa mashtaka ni Omar Awadh Omar, Muzafar Luyima, Abubakari Batemyeto, Yahya Suleiman Mbuthia, Muhammed Hamid Suleiman na Dkt Kalule Suleiman.

LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki, bila kusahau kuwashirikisha rafiki zako kutembelea website hii. 
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

+255 (0) 652989873 whatsapp


Karibu sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 


"FOR MORE INFO PLEASE"

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply