sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » NJIA MBILI PEKEE UTAKAZOTUMIA KUKATA TIKETI ZA MABASI YA MWENDO KASI

UNGANA NA 
LINK CLASSIC
KATIKA KIPENGELE CHA 
HOT NEWZ
Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wanaonekana kurejesha matumaini yao kuhusu kumalizika kwa adha ya usafiri jijini humo, hii ni kutokana na kukamilika kwa mradi wa mabasi yaendayo haraka ambapo jana zilitangazwa nauli za mabasi hayo, na hii leo mabasi hayo yameanza majaribio kwa kubeba abiria kwa muda wa siku mbili bure wakati akisubiriwa Rais Magufuli kuuzindua mradi huo rasmi Alhamisi wiki hii.

JINSI YA KUKATA TIKETI ZA MABASI HAYO

Kutakuwa na mifumo miwili ya ukataji tiketi, mfumo wa kwanza ni ule uliozoeleka wa tiketi za karatasi ambazo unakata ukiwa katika kituo cha mabasi hayo, na wapili ni ule wa kutumia KADI MAALUMU, Huu ni mfumo ambao abiria atapatiwa kadi na kujaza salio kwenye kadi hiyo kupitia mawakala watakaotangazwa kwa kuweka kiwango cha nauli ambayo ataweza kuitumia ndani ya wiki au mwezi mzima.

Baada ya hapo abiria atakapofika kituoni atalizimika kuipitisha  juu ya mashine  maalumu zilizopo kituoni hapo, kwa ajili ya makato ya nauli na ndipo mlango utajifungua kumruhusu abiria kuingia kwenye sehemu ya kusubiria usafiri huo.

LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

+255 (0) 652989873 whatsapp

TWITTER    
LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana
LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply