sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » WAKATAZWA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII NDIVYO SIVYO


UNGANA NA 
LINK CLASSIC
KATIKA KIPENGELE CHA 
HOT NEWZ

WATOTO wengi wametajwa kutumia mitandao ya kijamii, kuangalia mambo ambayo ni kinyume na maadili, jambo ambalo wameaswa kuitumia kujifunza mambo yenye manufaa kwao.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Sihaba Nkinga alisema hayo wakati akifungua mkutano wa tatu wa kamati kuu ya Baraza la Watoto Tanzania.

Aidha Nkinga aliwataka watoto kuhakikisha wanatimiza wajibu wao na kuacha kulalamikia haki bila kutimiza wajibu.

Alisema ushiriki wa watoto ni moja ya haki tano za msingi kwa watoto wote, bila kujali tofauti zao na serikali inalipa suala la ushiriki wa watoto umuhimu wa kipekee katika mipango ya maendeleo.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya watoto kutoka Wizara hiyo, Magret Mussai alisema, mkutano huo wa Baraza la Watoto ni muhimu na utawasaidia watoto kuangalia mambo yao ikiwemo kuangalia mikakati wa taifa ya ushirikishwaji wa watoto katika mambo mbalimbali.


LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

Whatsapp +255 652 989 873



PINTEREST  TWITTER    

LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana


LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply