sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » KESI YA SCORPION HAKIMU ALICHOKISEMA KWENYE HUKUMU

Scorpion akipelekwa mahakamani leo.
Hukumu ya mwalimu wa sanaa ya kujihami ‘martial arts’  Salum Njwete maarufu kama Scorpion, ya kumjeruhi na kumtoboa macho kinyozi Said Mrisho leo ilishindwa kusomwa katika Makahama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar kufuatia hakimu aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo, Flora Haule, kusema bado hajakamilisha kuiandaa.

Majeruhi Said Mrisho aliyetobolewa macho (katikati) akiongozwa na ndugu zake kuondoka makamani hapo baada ya kesi hiyo kuahirishwa.
Hakimu huyo ameiharisha kesi hiyo mpaka Januari 22 mwaka huu ambapo amesema atatoa hukumu hiyo.  Kufuatia hali hiyo, Scorpion amerudishwa rumande mpaka tarehe hiyo.

Said Mrisho akiingia kwenye Bajaj kurejea nyumbani.

KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply