Akaunti ya Instagram ya Mange Kimambi yaondelewa na Instagram baada ya watu wengi Jana usiku wa kuamkia leo kui-report. Kwa upande Mwingine habari zinadai baada ya tukio hilo Mange ameamua kuachana na siasa na kupigania haki za watu akidai amegundua Watanzania wenyewe hawataki kupata haki
KWA HABARI ZAIDI
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: