Wema Sepetu arudi CCM na kusema haya
.
"Siwezi Kuendelea kuishi kwenye Nyumba inayo nikosesha amani... Peace of mind is everything for me... Natangaza Rasmi kuondoka Chadema na Kurudi Nyumbani.... #ThereIsNoPlaceLikeHome... Feels good to be Back"
.
Siku 3 zilizopita Mange Kimambi alitoa breaking news kuwa Wema na Mama Yake wanarudi CCM
.
Nini maoni yako ?
KWA HABARI ZAIDI
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: