sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » NDEGE ILIYOBEBA WACHEZAJI WA BRAZIL YAANGUKA COLOMBIA PICHA & VIDEO

Kabla ya kuanza safari timu hiyo ilipiga selfie hii.

UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA


Ndege iliyokuwa imebeba watu 72, ikiwemo timu ya soka ya klabu ya Chapecoense ya Brazil, imeanguka katika sehemu ya milima nchini Colombia wakati inakaribia Mji wa Medellin.


Maelezo kamili ya ajali hiyo hayajafahamika lakini habari zinasema kwamba kuna 6 watu walionusurika.

Ndege hiyo ya kukodisha iliyokuwa ikitokea Bolivia, ilikuwa na timu ya soka ambayo ilikuwa icheze katika fainali ya Kombe la Amerika ya Kusini dhidi ya timu ya Atletico Nacional ya Medellin. Hivyo, fainali hiyo imeahirishwa

Ripoti zinasema ndege hiyo yenye leseni namba CP 2933, iliyoanguka muda mfupi kabla ya saa sita usiku, ilielezewa na Meya wa Medellin, Federico Gutierrez, kama “janga kubwa”, akiongeza kwamba inawezekana kuna watu walionusurika.



Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana


Karibuni sana

LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 




"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply