UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA
Watu wengi huitumia karoti kama kiungo ama kikolezeo cha mboga. Mbali na kutumika kama kiungo cha kwenye mboga, karoti ina faida mbalimbali kwa afya ya mwanadamu. Karoti ina uwezo wa kutibu matatizo yafuatayo ya kiafya.
1. Inalainisha tumbo.
2. Inapigana na upungufu wa damu.
3. Inasaidia kuzuia Saratani.
4. Inasaidia kutibu Baridi yabisi
5. Inasaidia Kusafisha damu.
6. Inatibu Vidonda vya tumbo.
7. Inasaidia Kutibu chunusi.
8. Inasaidia kutibu Macho.
9. Inasaidia kutibu Koo na Kibofu cha mkojo.
10. Inasaidia kulainisha na kunawirisha ngozi na kuifanya yenye afya.
STICKER: TUNATENGENEZA NA KU PRINT STICKERS ZA MAGARI NA NYINGINEZO TUWASILIANE
MATAYARISHO.
Chukua karoti kilo 1, ponda au twanga iwe laini, chemsha kwa dakika 15 ndani ya maji lita 1 na nusu au 2, chuja kunywa juisi yake kwa vidonda vya tumbo au saratani ya tumbo na matumbo au saratani ya kizazi, tumia nusu kikombe cha chai miezi 3 mpaka 6. Kwa ajili ya kurembesha uso nawia juisiyakekila siku asubuhi mfululizo kwa siku 5.
Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu
akubariki sana
Karibuni sana
LINK CLASSIC
LIKE PAGE ZETU
"KWA HABARI ZAIDI "
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: