sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » FAIDA ZA KULA KAROTI KIAFYA

UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA


Watu wengi huitumia karoti kama kiungo ama kikolezeo cha mboga. Mbali na kutumika kama kiungo cha kwenye mboga, karoti ina faida mbalimbali kwa afya ya mwanadamu. Karoti ina uwezo wa kutibu matatizo yafuatayo ya kiafya.


1. Inalainisha tumbo.
2. Inapigana na upungufu wa damu. 
3. Inasaidia kuzuia Saratani. 
4. Inasaidia kutibu Baridi yabisi 
5. Inasaidia Kusafisha damu. 
6. Inatibu Vidonda vya tumbo. 
7. Inasaidia Kutibu chunusi. 
8. Inasaidia kutibu Macho.
9. Inasaidia kutibu Koo na Kibofu cha mkojo. 
10. Inasaidia kulainisha na kunawirisha ngozi na kuifanya yenye afya.


MATAYARISHO.

Chukua karoti kilo 1, ponda au twanga iwe laini, chemsha kwa dakika 15 ndani ya maji lita 1 na nusu au 2, chuja kunywa juisi yake kwa vidonda vya tumbo au saratani ya tumbo na matumbo au saratani ya kizazi, tumia nusu kikombe cha chai miezi 3 mpaka 6. Kwa ajili ya kurembesha uso nawia juisiyakekila siku asubuhi mfululizo kwa siku 5.


Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana

Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply