sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » ALIYEPIGWA PICHA ZA UTUPU NA KUSAMBAZWA MITANDAONI HUYU HAPA, AHOJIWA NA KUNENA HAYA






UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA


Mhanga wa picha za utupu zilizosambaa mtandaoni amehojiwa na na kudai kuwa ni kweli pcha hizo alizopiga ni za kwake na alizipiga akiwa anajitambua na mwenzi wake huyoa liyekuwa amepiga nae picha walishaachana baada ya kuwa na mahusianano waliyoyaanza mwaka 2014 na kudumu kwenye mapenzi kwa miezi 6 lakini hawakujuana kundani kwa muda waliokuwepo pamoja


Anadai baada ya kuona picha hizo alimtafuta mpenzi wake huyo wa zamani na kumuuliza kulikoni na kudai kuwa amepoteza simu.

Alitoa taarifa polisi na polisi walikuwa na taarifa tayari baada ya hpo alimtafuta mpenzi wake huyo aitwa Vincet na kukuta hapatikani na amem block kwenye mitandao ya kijamii ya WhatsApp na Instagram

Amesema kisa cha mwanaume huyo kuvujisha picha hizo ni kuwa waliachana baada ya kumfuma na mwanamke mwingine ambaye alikuwa ni ndugu yake na kisha kumuacha na kuanzisha mahusiano na mwanaume mwingine,

Mwanaume huyo akadai atamuharibia kwa kuwa yeye alimuharibia mipango yake na msichana aliyemfuma naye kwa hiyo na yeye lazima atalipiza kisasi Angalia Video Hapa: 


Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana
+255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call

Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply