sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » WANAFUNZI WAHUKUMIWA BURUNDI BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

UNGANA NA 
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA
Polisi nchini Burundi inawashikilia kundi kubwa la wanafunzi wa sekondari kwa kosa la kuharibu picha ya rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza.
Vijana hao wanakabiliwa na kosa la kumtukana kiongozi wa nchi, kosa ambalo adhabu yake ni kifungo cha miaka mpaka kumi jela. Wakazi mjini Bujumbura wanasema, watu wawili wamejeruhiwa siku ya Ijumaa pindi polisi walipopiga risasi kutawanya wanafunzi waliokuwa wakiandamana.
Waangalizi wanasema maafisa wa serikali walianza kupambana na kile kinachoonekana kuongezeka kwa visa vya kuharibu picha ya rais katika vitabu vya wanafunzi shuleni.
Makundi ya vijana yamehojiwa kutokana na matukio hayo na idadi kubwa inakabiliwa na mashtaka.

Image copyright

Mamia ya wanafunzi, wengine wakiwa na umri mdogo wa miaka kumi na miwili wamefanya maandamano kutokana na kamatakamata hiyo, lakini wanasema polisi wamefyatulia risasi.
Mwezi uliopita, zaidi ya wanafunzi mia tatu walitimuliwa shuleni katika mji wa Ruziba baada ya walimu kukuta vitabu vyenye picha ya rais vimeharibiwa kuandikwa ujumbe wa matusi.
Shirika la Umoja wa mataifa linaloshughulikiwa masuala ya watoto UNICEF limelaani kukamatwa na kufukuzwa kwa watotot hao, na kusema shule zinatakiwa kuheshimiwa kama maeneo salama kwa watoto.
Kumekuwa na hali ya wasiwasi nchini Burundi tangu rais Nkurunziza kuamua kuwania muhula wa tatu kinyume cha katiba ya nchi hiyo hapo mnamo mwaka jana.
Zaidi ya watu mia nne na hamsini wameuawa.

Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana
+255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call

Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply