sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » UGONJWA WA GOITA DALILI NA TIBA YAKE

UGONJWA WA GOITA DALILI NA TIBA YAKE
UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA



Huu ni uvimbe usio wa kawaida katika kikoromeo(Thyroid Gland) ambao hutokea mbele ya shingo)

Dalili za upungufu wa madini joto mwilini (Goita)

i. Uvimbe mbele ya shingo
ii. Mama wajawazito kuharibu mimba
iii. Kudumaa mwili na akili
iv. Mtoto kufia tumboni
v. Kuzaliwa mtoto njiti (uzito pungufu au premature)
vi. Kutetemeka na kuwa na wasiwasi.
vii. Macho kutoka nje

Sababu za kupata upungufu wa madini joto mwilini.

i. Kupungua kwa IODINE katika chakula
ii. Lishe duni

Jinsi ya kuzuia upungufu wa madini joto mwilini
i. Kutumia chumvi yenye Iodine (ayodini) hasa ile ya baharini
ii. Kutumia vyakula vyenye Iodine(ayodini) kwa wingi kama vile dagaa, maziwa nk.
iii. Kutoa elimu ya afya kwa jamii kuhusu umuhimu wa lishe bora na
iv. Kumpeleka mgonjwa hospitali iwapo ameshaanza dalili

Matibabu ya upungufu wa madini joto mwilini

i. Mgonjwa ataagiziwa dawa ya Iodine na daktari
ii. Tumia dawa kama utakavyoagizwa na daktari
iii. Operesheni itakayofanyika kama tezi imekuwa kubwa na athari zake zimeonekana 

Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki,
+255 (0) 652989873 Whatsapp / Call

Karibuni sana

LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 


KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply