sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » MIMBA HATARISHI NI NINI? SOMA HAPA KUJUA ZAIDI NIMEKUSOGEZEA HAPA


UNGANA NA 
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA

Mimba hatarishi ni ujauzito ambao huatarisha au kutishia afya pamoja na maisha ya mama na mtoto(kichanga)

Nini husababisha mimba kuwa hatarishi?
Magonjwa au maradhi anayokuwa nayo mama kabla ya ujauzito 
Baadhi ya kina mama wana matatizo mengine ya kiafya kabla ya kushika ujauzito. Mfano maradhi ya shinikizo LA damu, kisukari na maambukizi ya VVU. Maradhi hayo hufanya ujauzito kuwa hatarishi

Unene na kitambi 
Kitambi huongeza hatari ya mama mjamzito kupata maradhi ya shinikizo la damu,kisukari,kuzaa watoto wafu, matatizo ya mfumo fahamu pamoja na kujifungua kwa upasuaji na matundu kwenye moyo.

Mimba yenye zaidi ya mtoto mmoja 
Mama mwenye ujauzito wenye watoto mapacha huwa katika hatarishi kubwa kuliko mjamzito ambaye hana pacha. Baadhi ya hatari hizo kwa mama na mtoto ni  maradhi ya shinikizo la damu( preeclampsia),uchungu kabla ya muda pamoja na kujifungua njiti. Zaidi ya watoto  mapacha  huzaliwa kabla ya wiki 37.

Kushika mimba katika Umri mdogo au mkubwa 
Mama anaposhika ujauzito katika umri mdogo  (chini ya miaka 17) au katika umri mkubwa (zaidi ya miaka 35) huatarisha afya na  maisha yake pamoja na mtoto. Kina mama walioko katika kundi hili wana hatari kubwa ya kupata maradhi ya shinikizo la damu

Mama anaweza kubainika iwapo ana ujauzito hatarishi baada ya  kuhudhuria katika clinic za afya ya uzazi na mtoto mapema na mara kwa mara.

Iwapo mama atabainika kuwa na mimba hatarishi atawajibika kuwa chini ya uangalizi wa madaktari bingwa. Hii itasaidia kuhakikisha mama anakuwa salama katika kipindi chote cha ujauzito.

LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki, bila kusahau kuwashirikisha rafiki zako kutembelea website hii. 

+255 (0) 652989873 whatsapp


Karibu sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 


"FOR MORE INFO PLEASE"

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply