sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » KENYA: WANASIASA 8 KORTINI KWA UCHOCHEZI


UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA
Wanasiawa 8 nchini Kenya kutoka chama tawala na kile cha upinzani, wamefikishwa mahakamani jijini Nairobi baada ya kukaa kororoni kwa muda wa siku tatu kwa makosa ya kutoa matamshi ya uchochezi.
Waendesha mashtaka amewalaumu kwa kutumia matamshi yanayoweza kusababisha fujo miongoni mwa raia mbali na kudunisha utawala wa taifa.
Video moja iliyowekwa mitandaoni mwishoni mwa juma lililopita, lilimuonyesha mbunge wa chama tawala Jubilee, Moses Kuria, akitoa wito wa kuuawa kwa kinara mkuu wa chama cha upinzani ODM Raila Odinga.
Bwana Kuria amekanusha usemihuo.
Wabunge wengine wa chama tawala wanaokabiliwa na mshtaka hayo ya uchochezi Ferdinand Waititu (Kabete) and Kimani Ngunjiri (Bahati).
Wabunge wa muungano wa upinzani-CORD seneta wa jimbo la Machakos Johnson Muthama wabunge Junet Mohamed (Suna East), Timothy Bosire (Kitutu Masaba), na wawakilishi wa wanawake wa Aisha Jumwa (Kilifi ) na Florence Mutua (Busia ) walijibu matamshi hayo, huku wakiwaomba wafuasi wao kumlinda bwana Odinga.

Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki,
+255 (0) 652989873 Whatsapp / Call

Karibuni sana

LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 


KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply