sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » RAIS MAGUFULI KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA MUSEVENI KESHO

UNGANA NA 
LINK CLASSIC
KATIKA KIPENGELE CHA 
HOT NEWZ

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ameondoka nchini leo kuelekea Uganda akitokea jijini Arusha.

Rais Magufuli ataungana na viongozi wengine hapo kesho Mei 12 katika sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni ambaye alishinda katika Uchaguzi Mkuu  Februari mwaka huu.

Wakati akielekea katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Rais Magufuli amesindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Said Meck Sadick pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Ntibenda.

Rais wa Uganda ataapishwa kesho kuongoza taifa hilo baada ya kushinda Uchaguzi Mkuu wa taifa hilo mwezi Februari kwa asilimia 60.75 ya kura zilizohesabiwa.

Wakati huo viongozi wa Chama cha Upinzani cha (FDC) walitangaza kufanya maandamano kuzuia kuapishwa kwa Rais Museveni ambapo walinyimwa kibali na wanajeshi kutanda Jiji la Kampala.

LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

+255 (0) 652989873 whatsapp

TWITTER    
LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana
LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply