UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Injinia Edwin Ngonyani amesema kwamba Serikali ya Awamu ya Tano ikisema jambo inamaanisha na ikiahidi inatenda kama ilivyoahidi hivyo wananchi waiamini.
Ngonyani ameyasema hayo Bungeni alipokuwa akijibu swali la Mbunge Juma Nkamia (CCM) kuhusu kipande cha barabara kutoka chuo cha Mipango Dodoma kwenda Msalato kiasi cha kilomota 8 na zaidi ambapo ziliahidiwa kujengwa kwa lami hadi sasa bado hazijafanyiwa kazi.
Akijibu swali hilo Naibu Waziri wa Ujenzi Ngonyani amesema serikali ya CCM ikiahidi inatenda hivyo kwenye barabara hiyo mkandarasi atawasili muda wowote katika eneo la kazi baada ya kumaliza kulipwa stahiki zake.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
+255
(0) 652989873 whatsapp
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: