sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » NEC; UCHAGUZI UMEISHA,SASA TUJENGE NCHI

Ungana na
LINK CLASSIC
katika kipengele cha
HOT NEWZ

topic ni 

NEC; UCHAGUZI UMEISHA,SASA TUJENGE NCHI

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imetoa hati za shukrani kwa wadau walioshiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kwa kutambua mchango wao.

Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi hati hizo mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema Tume inatambua mchango mkubwa uliotolewa na wadau wa uchaguzi kwani Tume peke yake isingeweza kufanya kazi hiyo.

Jaji Lubuva amesema uchaguzi umemalizika hivyo ni vema sasa wananchi kushikamana kwa pamoja kitaifa ili kuendelea kuijenga nchi kwa amani na upendo.

Waliokabidhiwa hati hizo ni vyama vyote vya siasa pamoja na wadau wengine ambao walishiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

+255 (0) 652989873 whatsapp



TWITTER    

LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana
LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply