Ungana na
LINK CLASSIC
katika kipengele cha
HOT NEWZ
topic ni
NEC; UCHAGUZI UMEISHA,SASA TUJENGE NCHI
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imetoa hati za shukrani kwa wadau walioshiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kwa kutambua mchango wao.
Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi hati hizo mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema Tume inatambua mchango mkubwa uliotolewa na wadau wa uchaguzi kwani Tume peke yake isingeweza kufanya kazi hiyo.
Jaji Lubuva amesema uchaguzi umemalizika hivyo ni vema sasa wananchi kushikamana kwa pamoja kitaifa ili kuendelea kuijenga nchi kwa amani na upendo.
Waliokabidhiwa hati hizo ni vyama vyote vya siasa pamoja na wadau wengine ambao walishiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
+255
(0) 652989873 whatsapp
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: