Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua shehena ya sukari wakati alipotembelea ghala la kwanda cha Sukari cha Kagera akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera Machi 14, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua shehena ya sukari wakati alipotembelea ghala la kwanda cha Sukari cha Kagera akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera Machi 14, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua eneo la mpaka kati ya Tanzania na Uganda kwenye Ranchi ya Missenyi mkoani Kagera Machi 14, 2016. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Missenyi,Festo Kiswaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya wananchi wa Uganda waishio mpakani wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati alipotembelea kijiji cha Benkoma wilayani Missenyi akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera Machi 14, 2016. Wananchi hao wa Uganda walivuka mpaka ili kumuona Waziri Mkuu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Uganda waishio kwenye mpakani waliovuka mpaka ili kumuona wakati alipotembelea kijiji cha Benkoma wialyani Missenyi akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera Machi 14, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya wananchi wa Uganda waishio mpakani wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati alipotembelea kijiji cha Benkoma wilayani Missenyi akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera Machi 14, 2016. Wananchi hao wa Uganda walivuka mpaka ili kumuona Waziri Mkuu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
Karibu sana
LINK
CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA


No comments: