









Shamba la Kitulo la Ufugaji wa Ng'ombe aina ya Mitamba lilianzishwa mwaka 1963 na Mwl.Nyerere kama eneo la kuzalisha maziwa ya kusambaza nchi nzima,Ng'ombe aina ya Mitamba wanaopatikana kwenye shamba hilo waliingizwa nchini kutokea Marekani na nchi za Ulaya Mashariki ambazo hali yake ya hewa inaendana na ile ya kitulo ambayo kuna wakati ni 0 centgrade,na hali ya juu zaidi inaweza kuwa 19 Centgrade.
Kuanzia miaka hiyo ,Shamba la kitulo ambalo linauwezo wa kulisha ng'ombe elfu nne (4000),Shamba hilo kwa sasa lina ng"ombe mia saba tu(700).
Mbali zaidi,nyenzo za kutunzia ndama na kukamua maziwa haziridhishi na ukuziaji wa nyasi zilizopandwa kwaajili ya malisho haulidhishi.
Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mh.Mwigulu Nchemba,baada ya kusikiliza na kuona changamoto zinazolikabili shamba la kitulo kwa ufugaji wa ng'ombe,Ameahidi kuhakikisha analiboresha na kusaidia upatikanaji wa ng'ombe wa kutosha,huduma za kutosha ili eneo la kitulo liwe ni shamba darasa hata kwa mashamba mengine ndani na nje ya nchi yetu.
Picha/Maelezo na Festo Sanga Jr.
LINK CLASSIC:
Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu
mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna
vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa
na marafiki zako kutembelea website hii
pia waweza tupia namba yako
ukawa unapata habari kupitia simu yako bureeeeeeee...ila simu iwe smartphone
Pia waweza kuwasilina nasi
au kutufollow hapa chini
Whatsapp / Call - 0652 989 873
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: