sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » POLISI WAZIDI KUMSHANGAZA RAIS MAGUFULI


Zikiwa zimepita siku tano tangu Rais John Magufuli aeleze kushangazwa na vitendo vya askari wa polisi kunyang’anywa bunduki na majambazi, polisi mkoa wa Dodoma wameporwa SMG.

Watu saba wanaosadikiwa kuwa majambazi walifanya uporaji huo baada ya kuvamia ofisi za kampuni ya simu za mikononi ya Halotel katika eneo la Medelii, Manispaa ya Dodoma, na kuwajeruhi askari polisi waliokuwa zamu.

Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa hapa, David Mnyambuga, tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana, saa nane na nusu usiku katika ofisi hizo.

Alisema watu hao wakiwa na mapanga na nondo, walivamia ofisi hizo na kutoboa ukuta na kisha kuwajeruhi askari polisi kwa mapanga na kupora SMG hiyo.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa  alisema jeshi hilo linamshikilia mtu mmoja ambaye anaendelea kuhojiwa kuhusiana na tukio hilo, na kwamba msako mkali bado unafanyika ili wahusika wote waweze kukamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.


LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

INSTAGRAM           FACEBOOK    GOOGLE+

PINTEREST   TWITTER    LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana


LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply