Siku ya Ijumaa ofisi ya Urais Afrika Kusini ilifahamisha kuwa rais Zuma atasafiri kwenda Saudi Arabia katika ziara ya kikazi itakayosaidia kukuza uhusiano baina ya nchi hizo mbili.
Rais Zuma atasafiri kwenda Saudi Arabia siku ya Jumapili ingawa ziara yake ya kikazi katika falme za kiarabu itaanza rasmi siku ya Jumatatu.
Aidha ziara ya Jacob Zuma Saudi Arabia itaimarisha mahusiano ya kiuchumi na kisiasa baina ya nchi hizo mbili.
Zaira hiyo itakuwa ziara ya tatu urais nchini Saudi Arabia ya kwanza ilikuwa ni ya marehemu rais Nelson Mandela mwaka 1997 na pili ilikuwa ya rais wa zamani Thabo Mbeki mwaka 2007.
LINK
CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja
ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL
zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau
kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA


No comments: