sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » UJUMBE WA RAIS JPM MWAKA MPYA 2018

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amewatakia watanzania wote hjeri ya mwaka mpya 2018, huku akiwataka kuendelea kuchapa kazi.
Rais Magufuli ametoa ujumbe huo kwenye ukurasa wake wa twitter ambapo ameweka picha yenye ujumbe huo wa mwaka mpya, na kuwaomba Watanzania kudumisha amani, upendo na mshikamano, sambamba na kufanya kzi kwa bidii ili kujenga nchi.
“Ndugu zangu Watanzania, nawatakia heri ya mwaka mpya 2018, naungana nanyi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa baraka zake, nawaomba tuendelee kudumisha amani, upendo, mshikamano wetu na tuchape kazi kwa juhudi na maarifa, kwa maendeleo ya Taifa letu ili tujenge Tanzania mpya, umeandika ujumbe huo.
Isome hapa kadi yote

jiunge na group la whatsapp  kupata habari haraka bofya hapa

https://chat.whatsapp.com/4kY5fx3UtyA3xYw5uk3NvF

KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply