sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » VITU 6 UKIVIFANYA UTAMFURAHISHA MUME WAKO

1. Muamini mmeo au mchumba wako.

2. Usikatishe tamaa katika maono yake.

3. Usimlazimishe kupenda mambo unayoyapenda.

4. Usipange kumbadilisha.

5. Usidhani kwamba hawezi kutambua uwepo na uzuri wa wanawake wengine.

6. Usilazimishe kuwajibika juu ya mambo yako.
Kama vile kwenda saluni, umeme, vocha na mambo mengine hasa kama bado mko katika mchakato wa uchumba, kama atafanya hivyo mwache afanye mwenyewe msimlazimishe eti kwa sababu shosti wako huwa anafanyiwa hivyo na wewe unataka, ladies huo ni utoto. 

TOA MAONI YAKO

KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply