sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » UENYEKITI YANGA BADO UNAMSUBIRI YUSUPH MANJI

MILIONEA wa klabu ya Yanga, Yusuph Manji ametandikiwa zuria jekundu kuweza kurejea katika timu hiyo kwa kishindo na kukalia kiti cha mwenyekiti kama ilivyokuwa awali kabla ya kuandka barua kuomba kujiuzuru nyadhifa hiyo baada ya kukumbwa na matatizo binafsi.

Katibu mkuu wa Yanga, Charles Mkwasa amesema kuwa ni suala la utayari wake lakini anakaribishwa kwa mikono miwili kwa sababu bado ni mwanachama wao hai.

“Sioni tatizo kwake kurudi, namkaribisha kwa mikono miwili kwa sababu bado ni mwanachama hai wa Yanga na mchango wake unatambulika na wanachama wote,” alisema Mkwasa.

“Najua anahitaji kupumzika lakini ikiwa anataka kurudi tutampokea, ni suala tu la wanachama wetu kuridhia, taratibu za Yanga ziko wazi,” aliongeza.


Manji aliandika barua ya kuomba kujiudhulu nafasi ya uenyekiti lakini mpaka hivi sasa barua hiyo haijajibiwa na uongozi.



KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply