sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » OMBI LA CRISTIANO RONALDO LAKATALIWA NA BARCELONA



Usiku wa December 16 2017 club ya Real Madrid ya Hispania ilifanikiwa kutwaa taji la pili mfululizo la club Bingwa Dunia kwa kuifunga Gremio katika mchezo wa fainali kwa goli 1-0, goli ambalo lilifungwa na Ronaldo kwa faulo.


Staa wa soka wa Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo kuelekea mchezo wao wa El Clasico dhidi ya FC Barcelona watakaoucheza siku ya Jumamosi December 23 2017, amewataka wachezaji wa FC Barcelona kuwawekea Real Madrid Guard of Honour wakati wanaingia uwanjani kutokana na Real Madrid kuwa mabingwa wa Ulaya na wametwaa taji la Club Bingwa Dunia.



Muda mchachee baada ya taarifa hizo kutoka mkurugenzi wa Barcelona Guillermo Amor amethibitisha kuwa Barcelona hawatowawekea Real Madrid a guard of honour kwa sababu hiyo sio sharia pili inatokea endapo Barcelona angekuwa kashiriki Ubingwa wa Dunia na yeye.



KANYE WEST AKICHEZA NYIMBO YA DIAMOND PLATINUMZ FT RICK ROSS - WAKA



KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply