sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » KIONGOZI WA ACT ATIWA MBALONI


Misungwi. Wakati upigaji kura katika Kata ya Kijima wilayani Misungwi likiendelea vema, mratibu wa shughuli za kampeni za ACT Wazalendo katika kata hiyo, John Mbozu anashikiliwa polisi kwa tuhuma za kupiga picha eneo la kituo cha kupiga kura bila kibali.

Mbozu ambaye pia ni Katibu wa Mambo ya Nje wa ACT Wazalendo amepelekwa kituo cha Polisi cha Misasi kwa mahojiano zaidi.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Eliud Mwaiteleke amesema hadi kufikia saa 4:00 asubuhi leo Jumapili Novemba 26, hakuna tukio lolote lililoripotiwa kukwamisha upigaji kura zaidi ya hilo la mtu mmoja kukamatwa akipiga picha kituo cha kupiga kura bila kibali maalum kutoka ofisini kwake.

Wakazi wa Kata ya Misasi wanapiga kura leo Jumapili kumchagua diwani kutokana na kifo cha aliyekuwa diwani wa kata hiyo, Kwabi Pandoji (CCM).

Mwananchi:


KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply