sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » NJIA ZA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO(ULCERS)

NJIA ZA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO(ULCERS)
UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA

  

Kama una vidonda vya tumbo, matibabu yako yatategemea sababu ya vidonda vya tumbo. Kama ni bakteria H.pylori, dawa za kuua na kuondoa bakteria hutumiwa.

Mambo yafuatayo yatakusaidia kuishi vizuri ukiwa na 'Vidonda Vya Tumbo'

1. Acha kutumia kahawa na chai, kwa maana vitu hivi huongeza kiwango cha asidi kinachotengenezwa na tumbo lako.Unaweza tumia chai ya mitishamba 'Herbaltea' kama mbadala.

2. Kunywa maziwa na ule vitokanavyo na maziwa kama maziwa mgando 'Yoghurt',jibini 'Cheese'. Maziwa hufikiriwa kufunika utumbo na kupunguza athari za asidi ya tumboni.

3. Jitahidi kupunguza uzito kama uzito umezidi na hauendani na kimo chako.

4. Kula walau kidogo mara kwa mara. Hii itasaidia kupunguza athari za asidi inayotengenezwa na tumbo.

5. Acha au kunywa vileo siku maalumu tu kwa maana unywaji wa pombe mara kwa mara hutonesha kwenye vidonda vya tumbo vinavyotaka kupona.

6. Epuka matumizi ya viungo vya vyakula kwa maana hufanya hali kuwa mbaya zaidi.

7. Acha kuvuta sigara/tumbaku/bangi. Uvutaji wa sigara utakuweka kwenye hatari zaidi ya kuanza vidonda vipya na kuzuia vidonda vingine visipone.



Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana

+255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call

Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply