sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » MAOFISA UWANJA WA NDEGE JULIUS NYERERE WALIOJICHANGANYA WAKATI RAIS ALIPOFANYA ZIARA WAONDOLEWA

UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA


Baadhi ya maofisa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) waliokuwa kwenye mashine za ukaguzi Rais John Magufuli alipofanya ziara ya ghafla uwanjani hapo wameondolewa kwenye kitengo hicho.

Majina ya maofisa hao yamepelekwa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ili wachukuliwe hatua.

 Waziri wa wizara hiyo, Profesa Makame Mbarawa ameambiwa  na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (Taa), George Sambuli kuwa maofisa hao wameondolewa uwanjani hapo.

 Sambuli amesema: “Wale watumishi waliokuwapo pale tulichukua hatua za awali za kuwahamisha,pia tuliandika taarifa na kuipeleka wizarani tunasubiri maelekezo zaidi.”

Awali, maofisa hao walitoa majibu yanayotofautiana kuhusu mashine ya ukaguzi iliyopo kitengo cha ukaguzi wa mizigo.

 Amesema wamejitahidi kushughulikia wizi wa mafuta ya ndege uliokuwapo katika maeneo ambayo hayakuwa na kamera baada ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuchukua hatua.

Profesa Mbalawa amesema taarifa hiyo haijamfikia mezani kwake kwa kuwa alikuwa katika vikao vya Bunge mjini Dodoma.

“Tumeamua kufanya ziara na Katibu wa Wizara ili kuona maelekezo aliyotoa Rais, tumeona mashine zote zinafanya kazi, lakini tunaangalia mafanikio na changamoto ambazo wanakabiliana nazo,” amesema


Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana

+255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call

Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply