sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » KINGA YA UKIMWI HAIFANYI KAZI KWA WASICHANA

UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA


Ripoti inaonyesha kuwa kinga dhidi ya Ukimwi haifanyi kazi kwa wasichana ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara huku wengi wakihitaji msaada wa kinga ili kuepuka maambukizi mapya.


Mkurugenzi mkuu wa UNAIDS,Michel Sidibe ametoa ripoti inayosema kuwa Kati ya asilimia 75 ya maambukizi mapya barani Afrika, asilimia 10 hadi 19 ni wasichana vigori.

Ripoti hiyo imetolewa siku chache kabla ya mkutano wa kimataifa kuhusu Ukimwi utakaofanyika mjini Durban nchini Afrika Kusini kaunzia Julai 18 hadi 22 mwaka huu.

Ripoti hiyo ni na mapendekezo kuhusu namna ya kusitisha maambukizo mapya na kufikia malengo ya 2020 kama ilivyoelezwa kwenye tamko la kisiasa la mwaka 2016 lililofikiwa mjini New York mwezi Juni


Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana

+255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call

Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply