sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAFUTURISHA WABUNGE MJINI DODOMA

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakipata futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa
UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakipata futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na kufanyika katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.

2.

3.

5.

6.

Waziri Mkuu Majaliwa

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akiwashukuru wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kujumuika naye katika futari aliyowaandalia jana na kufanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.


1.
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakipata futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na kufanyika katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
2.
3.
5.
6.

7.

Naibu Spika wa Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwaongoza wabunge kupata futari iliyoandaliwa na Wazri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa na kufanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akisikiliza neno la shukrani kutoka kwa Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson mara baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu na kufanyika katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bunge na Mbunge wa Ilala (CCM), Mussa Azzan Zungu

Mwenyekiti wa Bunge na Mbunge wa Ilala (CCM), Mussa Azzan Zungu akitoa neno la shukrani kwa Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa mara baada ya futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu na kufanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma jana.

Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Mhe. Andrew Chenge

Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Mhe. Andrew Chenge akitoa neno la shukrani kwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa mara baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu na kufanyika katika viwanja vya Bunge jana mjini Dodoma.(PICHA NA ISMAIL NGAYONGA- MAELEZO).

Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki,
+255 (0) 652989873 Whatsapp / Call

Karibuni sana

LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 


KWA HABARI ZAIDI


BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply