sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » UKIWA TAJIRI HAIMAANISHI UTAKUWA NA FURAHA MUDA WOTE.HI NDIO SABABU

African American woman counting money in living room
UNGANA NA 
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA

Pengine ule msemo kuwa pesa haiwezi kununua furaha una ukweli zaidi ya hata unavyofikiri.
Hii ni kwasababu kuna tafiti nyingi zinazohitimisha kuwa utajiri na furaha si vitu vinavyoendana kama inavyotegemewa. Sababu moja kwa mfano, ni kwamba watu matajiri huonekana kuwa watu wasio na moyo wa ukarimu zaidi. Utafiti mmoja ulibaini baada ya washiriki kupewa $10 na kuambiwa kuwa wanaweza kuitoa sehemu au yote kwa mtu mwingine, wale matajiri walitoa chini kwa asilimia 44.
Kwenye ulimwengu halisi, watafiti wamebaini kuwa watu matajiri hutoa kiasi kidogo ukilinganisha na walichonazo kwa misaada. Matajiri pia ni watu wa kujitenga zaidi – kitu ambacho kina madhara kwenye furaha. Kingine kadri watu watu wanavyokuwa na fedha hupenda uhuru zaidi na kupunguza kujichanganya.
Matokeo kutoka kwenye utafiti wa Notre Dame ni kuwa dalili za ukaribu kama vile kugawa fedha, kujitolea na kuwepo kwaajili ya marafiki zilihusishwa zaidi na furaha. Pia ukarimu ulikuwa na madhara chanya kwa asilimia 93 katika nchini 136.
Hiyo ni kwasababu binadamu huonekana kuwa na furaha zaidi pale tunapojichanganya. Tafiti zinaonesha kuwa hatuwezi kuwa na furaha bila kuwa na walau uhusiano wa karibu wa maana. Kadri tunavyofurahia maisha ya kujichanganya, ndivyo ambavyo tunapata hisia chanya.
Kama umebahatika kuwa tajiri, elewa madhara yaliyothibitishwa kisayansi ya kujitenga.
Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana
+255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call

Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply