sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » KIONGOZI WA UPINZANI CONGO-B AKAMATWA


UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA

Moja ya wapinzani wakuu wa rais Denis Sassou Nguesso katika uchaguzi wa mwaka huu wa Congo-Brazzaville amewekwa kizuizini .
Jenerali Jean-Marie Michel Mokoko , aliyeorodheshwa wa tatu katika uchaguzi uliopita , alikamatwa kwa madai ya kula njama dhidi ya serikali.
Video moja imekuwa ikisambaa kwenye mitandao ya kijamii ambayo inakisiwa kuonesha akijadili njama dhidi ya serikali.

Wakili wake aliiambia BBC kwamba amekana madaidhidi yake na ilivyoelezwa mashtaka hayo yamechochewa kisiasa.
Rais Sassou Nguesso amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 30 

Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki,
+255 (0) 652989873 Whatsapp / Call

Karibuni sana

LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 


KWA HABARI ZAIDI


BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply