UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA
HABARI za leo mdau wangu
msomaji wangu utakuwa upo vizuri napenda kukukaribisha kwa
pamoja tuweze kuzifahamu hizi faida 5 za asali katika matibabu.
Asali hufanya kazi mbalimbali mwilini ikiwa ni pamoja na kuponya maradhi, lakini pia husifika kwa kuwa na uwezo wa kuimarisha kinga za mwili.
Faida 5 za kutumia asali
1. Kwanza asali huweza kulainisha jipu na kuondosha usaha
2. Pili huweza kutuliza maumivu ya tumbo na kurahisisha umeng'enyaji wa chakula tumboni. Ili tumbo lako liweze kufanya kazi yake vizuri ni vyema ukajizoesha kula asali kijiko kimoja kila siku asubuhi kabla ya kula chochote
3. Husaidia kutibu vidonda hususani vile vya wazi na majeraha yatokanayo na moto
4. Pia asali husaidia kwa wale wenye matatizo ya kifua na mapafu.
5. Asali inauwezo mzuri pia wa kuimarisha kinga za mwili
Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana
+255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call
Karibuni sana
LINK CLASSIC
LIKE PAGE ZETU
"KWA
HABARI ZAIDI "
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: