UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA
Kwa wale wanawake ambao wana kawaida ya kwenda hedhi kila mwezi , dalili ya awali na ya uhakika ya ujauzito ni kukosa siku. Wakati mwingine wanawake ambao ni wajawazito na wanapata siku kipindi kifupi sana, hutoka damu kidogo tu. Baadhi ya ishara na dalili nyingine za awali za ujauzito ni hizi hapa chini. Kila mwanamke ni tofauti na si wanawake wote watakuwa wataona dalili hizi zote.
Kuhisi kuumwa - baadhi ya wanawake hujihisi kuwa wanaumwa. Wengi huhisi kichefuchefu na kutapika hasa nyakati za asubuhi.
Kuhisi uchovu-wanawake wengi hujihisi uchovu na mwili kulegea. Hii hufanya wanawake wapende kulala. Mabadiliko ya homoni yanayotokea wakati huu ndio kiini ya matatizo haya.
Kuumwa maziwa-baadhi ya wanawake hujaa na kuumwa maziwa.
Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana
+255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call
Karibuni sana
LINK CLASSIC
LIKE PAGE ZETU
"KWA
HABARI ZAIDI VISIT WEBPAGE"
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: