UNGANA NA
LINK CLASSIC
KATIKA KIPENGELE CHA
HOT NEWZ
Rais Dk. Magufuli pamoja na Rais Museveni wa Uganda wamezungumzia kuharakishwa kwa ujenzi wa Bomba la Mafuta kuanza mara moja kujengwa kuanzia mkoani Tanga hadi nchini Uganda ili kuanza kazi baada ya miaka miwili ijayo .
Mazungumzo hayo yalikuwa mara baada ya Rais Museveni kuapishwa ambapo awali, akiongea na maelfu ya watu waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwa muhula wa tano, Rais Museveni, amesema katika kuonyesha haijali Mahakama ya ICC aliamua kumualika Rais wa Sudan Omar Al-Bashir licha ya kuwepo kwa hati ya ICC ya kutaka akamatwe.
Sherehe hizo za kuapishwa Rais Museveni, zimehudhuriwa na Marais Jacob Zuma wa Afrika Kusini, Robert Mugabe wa Zimbabwe, Idriss Deby wa Chad, Edgar Lungu wa Zambia, Dk. John Magufuli wa Tanzania, Mohamadou Issoufou wa Niger na Teodoro Obiang Nguema Mbasogo wa Equatorial Guinea.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
+255
(0) 652989873 whatsapp
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: