UNGANA NA
LINK CLASSIC
KATIKA KIPENGELE CHA
HOT NEWZ
Sakata la Sukari pamoja na operesheni zinazoendelea za kuwakamata wanaoficha sukari limemuibua aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba na kutaka zoezi hilo lisitishwe.
Akizungumza na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya chama hicho Profesa Lipumba amesema kamata kamata hiyo imesababisha wafanyabiashara kuwa na hofu kwa madai kuwa wanashindwa kuagiza au kuhifadhi sukari jambo linalosababisha kupanda kwa bei maradufu mitaani .
Aidha Prof.Lipumba amemtaka Rais Dk. John Magufuli kushirikiana na wataalamu wa uchumi pamoja na waagizaji wa sukari ili kuangalia uwezekano kwa uagizwaji sukari kwa mfumo wa wazi ili kupunguza mianya ya rushwa au njia za panya.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
+255
(0) 652989873 whatsapp
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: