UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU
Hayo yalizungumzwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame hiyo Ijuma katika mkutano na Waandishi wa Habari ambapo alithibitisha ya kwamba serekali yake atatumia ndege zisizokuwa na rubani nchini kwa ajili ya kusambaza chanjo na damu kuanzia Agosti mwaka huu.
Ifahamike kuwa zoezi hilo la usambazaji wa chanjo na damu katika hospitali tofauti nchini Rwanda ni mkataba baina ya Serekali yaRwanda na Shirika la Marekani la Zipline International uliogharimu kitita cha fedha milioni 12 sarafu za Marekani.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
+255
(0) 652989873 whatsapp
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: