1. Kitu cha kwanza ni afya, Hakikisha unajali sana afya yako.
2. Zingatia sana Muda (Ratiba) yako, kumbuka kuna msemo unasema hivi "muda ni pesa".
3. Acha kuishi na wazazi au kupanga nyumba na washikaji.
4. Jifunze kuweka akiba ya fedha.
5. Tafuta mpenza sahihi na utulie naye.
6. Achana na starehe zisizo na maana.
7. Anza kununua asset kama vile ardhi, kitanda, vyombo vya nyumbani n.k
8. Chagua marafiki wenye changamoto za maendeleo.
9. Jifunze kuvaa kwa heshima na si tu suala la kupendeza
10. Achana na mambo ya kitoto.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
KWA HABARI ZAIDI
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA



No comments: