sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » MAMBO 10 YA KUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFANIKIO.


1. Kitu cha kwanza ni afya, Hakikisha unajali sana afya yako.
2. Zingatia sana Muda (Ratiba) yako, kumbuka kuna msemo unasema hivi "muda ni pesa".
3. Acha kuishi na wazazi au kupanga nyumba na washikaji.
4. Jifunze kuweka akiba ya fedha.
5. Tafuta mpenza sahihi na utulie naye.
6. Achana na starehe zisizo na maana.
7. Anza kununua asset kama vile ardhi, kitanda, vyombo vya nyumbani n.k
8. Chagua marafiki wenye changamoto za maendeleo.
9. Jifunze kuvaa kwa heshima na si tu suala la kupendeza
10. Achana na mambo ya kitoto.



LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini




TWITTER    

LINKEDIN     DRIBBBLE

KWA HABARI ZAIDI 

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply