sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » MADAKTARI BINGWA WA VICHWA WAKO 8 NCHI NZIMA

Brain


Ungana na LINK CLASSIC katika kipengele cha 

ELIMU YA AFYA ZETU
                                                               
topic ni 

MADAKTARI BINGWA WA VICHWA WAKO 8 NCHI NZIMA


Katika Kuokoa maisha ya Mtanzania anaepata matatizo yanayohitaji Upasuaji wa kichwa na mishipa ya fahamu  Serikali kupitia wizara ya Afya kwa kushirikiana na Taasisi ya Mifupa MOI imefungua kozi ya upasuaji wa vichwa na mishipa ya Fahamu ili kuongeza madaktari wenye fani hiyo, kwani hadi sasa kuna madaktari nane pekee Nchi nzima.

Hayo yameelezwa na Waziri wa Afya  Ummy Mwalimu ambapo ameainisha kuwa Tanzania ina madaktari nane pekee wanaohusika na Upasuaji wa vichwa na mishipa ya Fahamu ambapo saba kati yao wapo Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Upasuaji wa Mifupa (MOI) na mmoja yupo Bugando Mwanza.



“Wizara imeanzisha kozi kwa ajili ya kuongeza wataalamu wengi zaidi kwani hadi sasa tuna madaktari nane pekee ambapo saba kati yao wapo MOI na mmoja hospitali ya Rufaa ya Bugando Jijini Mwanza”.Alisema Ummy

Waziri Ummy amewataka madaktari hao kuzunguka nchi nzima kwa ziara watakayojipangia kwa mwaka mzima waweze kuwafikia hata wasiokuwa na uwezo wa kuwafika Muhimbili na Mwanza.


LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

+255 (0) 652989873 whatsapp



TWITTER    

LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana
LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply