sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » KAMA UMEOLEWA ITUMIE SMART PHONE YAKO VIZURI VINGINEVYO ITAKUPONZA SOMA HAPA



Ungana na
LINK CLASSIC
katika kipengele cha
KUHUSU MAISHA

topic ni 

KAMA UMEOLEWA ITUMIE SMART PHONE YAKO VIZURI VINGINEVYO ITAKUPONZA SOMA HAPA


Mwanamke aliyeolewa ni msaidizi wa mume wake, kuhakikisha amempikia mumewe,amemfulia, na mumewe akitoka kazini akili zake zote ziwe kwake, amuhudumie kwa kila kitu akisimama katika nafasi yake kama mwanamke aliyeolewa. Pia mwanamke aliyeolewa ni nguzo ya familia yampasa kuwa mtu anayemwomba Mungu kwa Imani yake kila wakati na pia kuwalea watoto vizuri na kuhakikisha usalama wao,


Siku hizi smartphone zinatuponzaa wanawake, kila saa tuko mitandaoni, mara kutafuta umbea, mara kuupload picha zisizo na mantiki et umepita kwa mangi umenunua kachips umepiga picha chaap umepost, mara kuandika status za vijembe watsapp, mara kutukana kwenye mitandao,
mwanamke umeolewa una account 20 insta,magroup yasiyo na maana ndo usiseme, mume karudi kazini wewe huna habari umetundika miguu uko busy na simu housegirl ndo amuhudumie mumeo chakula, we unafanya kuagiza tu nipe hichi mnawishe baba mikono kweli jamani?, smtms hadi unapika chakula kinaungua kisa ukobusy na simu.

Mara umepigiwa simu na mwanaume gani sijui anaongea upuuzi wewe ni kuchekacheka tu .Shost anakupigia simu nusu saa mnaongea tu upuuzi,hadi mwanaume anaboreka akikusubiria umalize kuongea aseme nawe jambo.

watoto wala huna habari nao hujui kwamba wamekula,hujui yupi ana homa, ni housegirl ndo anakuja kukuambia mama, Debora joto lake leo liko juu.mama mtu hujui kama joto la mtoto liko juu ila unajua picha ya mwisho leo wema sepetu kaweka insta kweli???? Halafu unajiita umeolewa wakati hujui majukumu yako kama mke??.

Aisee Wanawake mlioolewa badilikeni, simaanishi kwamba msitumie smartphone ila muwe na kiasi, hii ya mke wa mtu kiiila saa uko mitandaoni pasipo na sababu ya msingi acheni,waachieni single Girls.


LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii

Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

+255 (0) 652989873 whatsapp



TWITTER    

LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana
LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply