Kwa kuanza kwa sasa tutaanza na dalili ambazo hujitokeza kwa wanawake mara wanapopatwa na maambukizi haya:
Dalili za magonjwa ya ngono kwa wanawake / wasichana ni pamoja na:
- Kutokwa na ute usio wa kawaida ndani ya uke
- Maumivu ya chini ya tumbo.
- Kuhisi maumivu makali wakati wa kupata haja ndogo (mkojo.)
- Maumivu wakati wa kufanya kujamiana
- Kutoka damu ukeni isiyo ya kawaida
- Kuwashwa sehemu za siri
- Kupata uvimbe usio wa kawaida ukeni au katika sehemu za siri
- Jeraha, kidonda katika sehemu za siri
- Vipele, ikiwa ni pamoja vipele katika kiganja cha mkono na nyayo za miguu.
Kama utakuwa umeona dalili kama hizo basi ni vizuri ukawasiliana nasi kwa namba za simu hapo chini
LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz
ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua
LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau
kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
Karibu
sana
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: