sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » DALILI ZA MAGONJWA YA ZINAA KWA WANAWAKE


Habari za leo mdau wa www.dkmandai.com, leo nimeona ni vizuri tufahamishane kuhusu dalili za magonjwa yanayoene kwa njia ya ngono

Kwa kuanza kwa sasa tutaanza na dalili ambazo hujitokeza kwa wanawake mara wanapopatwa na maambukizi haya:

Dalili za magonjwa ya ngono kwa wanawake / wasichana ni pamoja na:

- Kutokwa na ute usio wa kawaida ndani ya uke

- Maumivu ya chini ya tumbo.

- Kuhisi maumivu makali wakati wa kupata haja ndogo  (mkojo.)

- Maumivu wakati wa kufanya kujamiana

- Kutoka damu ukeni isiyo ya kawaida

- Kuwashwa sehemu za siri

- Kupata uvimbe usio wa kawaida ukeni au katika sehemu za siri

- Jeraha, kidonda katika sehemu za siri

- Vipele, ikiwa ni pamoja vipele katika kiganja cha mkono na nyayo za miguu.


Kama utakuwa umeona dalili kama hizo basi ni vizuri ukawasiliana nasi kwa namba za simu hapo chini



LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini





PINTEREST  TWITTER    

LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana


LINK CLASSIC 

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply